Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Wednesday, 20 August 2014

Unknown / / 0

MRADI WA KUZUIA VITENDO VYA UKATILI WA KIJINSIA KWA WANAWAKE WAZINDULIWA JIJINI MBEYA

Naibu Meya wa Jiji la Mbeya Chifoda Yesaya Fungo akizindua Mradi wa kuzuia ukatili wa kijinsia kwa wanawake katika ukumbi wa Halmashauri jiji Mbeya

Mrtibu wa MBEPAU Jane Lawa akitoa maelezo mafupi jinsi mradi huo utakavyofanya kazi kwa kushirikiana wadau mbalimbali katika jamii


Mratibu wa NGOS Victor Kabuye akifafanua zaidi jinsi mradi huo utakavyofanya kazi karibu na jamii 



 Chifu Kiongozi wa Kabila la Kisafwa Bwana Roketi Mwanshinga akitoa neno la shukrani kwa waratibu wamradi wa MBEPAU kuwa wameupokea mradi huo kwa mikono miwili na sasa kazi tu kushirikiana kutokomeza vitendo vya ukatili wa kinjinsia



Baadhi ya wageni waalikwa katika uzinduzi wa mradi huo wakimsikiliza kwa makini mgeni rasmi

MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAKRISTO MKOA WA MBEYA AKITOA NENO LA SHUKRANI


PICHA YA PAMOJA MARA BAADA YA KUZINDULIWA KWA MRADI HUO

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News