MUNGU ALITENDA ANATENDA NA ATATENDA MVUA ZA BARAKA KWA WATU
Dalili za mvua ya baraka kunyesha ni kubwa sana.
Ni katiak semina kubwa ya Neno la Mungu inayaoendelea Kyimbila Tukuyu ambapo mkufunzi wa semina hiyo Apostle Jeremiah Mwakanyelenge anafundisha na kuombea watu wenye shida mbalimbali
Apostle Jeremiah Mwakanyelenge akifundisha mamia ya watu wanao hudhuria semiana inayoendelea Kyimbila Moravian
Fuatilia matukio haya katika picha
kwaya ya wenyeji wakimsifu Mungu
mama ambaye alikuwa hawezi kutembea bila kutukia fimbo lakini baada ya kufanyiwa maobezi mama akiwa na furaha iliyoje huku akionesha fimbo yake juu sasa mateso basi tena Mungu huyu
Semina hii imebeba kichwa cha somo Tengeneza madhabahu ili mvua ya baraka inyeshe. kadri semina inavyo zidi kuendelea na leo ikiwa ni siku 4 tangu semina kuanza hakika tunaona wingu zito la mvua za baraka limetanda kuashiria kunyesha kwa mvua za baraka hata kabla siku 8 hajaisha
hakika tuna muona Mungu akitenda mambo makubwa mmno miujiza inatendeka hakika Mungu ni mwema sana kwetu
Katika kufafanua somo hilo Apostle Jeremieah ameainisha maana saba za namna ya kuitengeneza madhabahu ambapo mamia ya watu wanaohudhuria semina hii wamejikuta wakifunguliwa macho yao na kuona kumbe wamejitengenezea madhabahu zingine nje ya madhabahu yenye uhusiano na Mungu na ndiyo maana watu hujikuta wakishindwa kubarikiwa na kujikuta wakikalia laana
Waweza jiuliza maswali kuwa mvua za baraka ni zipi hizo tena. Ni mafanikio ya Rohoni na mwilini ambayo ni haki yetu kupata toka kwa Bwana maana tuwarithi wa ufalme wake. ikwa ni pamoja na amani, furaha, afya , mali
tutaendelea kukujuza kinachoendelea ama zaidi sana tafuta DVD za semina hii na nyingine nyingi
uliza hapa 0754637974
Thursday, 13 November 2014
Unknown
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9
Blogroll
Blog Archive
-
▼
2014
(103)
-
▼
November
(11)
- JEM GOSPEL MINISTRY KIUWINJILIST ZAIDI TUNA MUONA ...
- THE WORD OF TO DAY
- MUNGU ALITENDA ANATENDA NA ATATENDA MVUA ZA BARAKA...
- Kumekucha Kyimbila wana wa Mungu wakisham...
- WORD OF TODAY
- MKUTANO WA NENO LA MUNGU
- MATOKEO YA DARASA LA SABA 2014
- WHAT IS YOUR VISION?
- HATIMAYE MTIHANI WA FORM FOUR UMEANZA LEO
- MDAHALO WA KUZUNGUMZIA KATIBA MPYA WAZUA VURUGU.
- SEMINA YA NENO LA MUNGU...
-
▼
November
(11)
Advertise Here
Popular Posts
-
Askofu mteule Conrad Nguvumali wa Jimbo la Rukwa Askofu Mteule C. Nguvumali pamoja na mke wake wakati wa sherehe ya kumpongeza Asko...
-
TAFSIRI YA NAMBA 5 KATIKA MAANDIKO Mchungaji Peter Mitimingi, mkurugenzi wa The Voice of Hope Ministries (VHM). Namba TANO ...
-
KWA TAARIFA YAKO : HII NDIO SIRI YA SOLO MAARUFU WA KINONDONI REVIVAL CHOIR Haya msomaji wetu wa Gospel Kitaa karibu katika kipengele...
-
Umati wa watu uliofurika katika viwanja kanisa la EAGT mwaka katika mkutano wa Injili Tunduma Mtumishi wa Mungu Joseph Lwiza maar...
-
Bonyeza hapa kusikiliza JP Radio FM...Nyote mnakaribishwa HOJA YA UCHAWI KANISANI; ONGEZEKO LA IMANI ZA UCHAWI MAKANISANI TANZANIA...
-
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya d arasa la Saba mwaka 2014 ambayo yameonyesha ongezeko la ufaulu wa asilimia 5...
-
WANAFUNZI WA SHULE MBALIMBALI WAKIWA KATIKA MAZINGIRA YA MTIHANI baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye chumba cha mtihani wanafunzi wakiwa ...
-
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mtandao mmoja nchini Kenya unaoendesha shughuli zake nchini Kenya kuanzia ...
-
Mchungaji na mwimbaji Daniel Mwasumbi aachiwa huru baada ya kushinda rufaa kutokana na kesi tata iliyokuwa ikimkabiri Mtoto wa Mchungaji ...
-
Bonyeza hapa kusikiliza JP Radio FM...Nyote mnakaribishwa KING KIKI: KILA SIKU NASALI BABU SEYA AACHIWE MWANAMUZIKI mkongwe kat...
%2B(1).png)
0 comments: