Mtumishi wa Mungu Apostle Jeremiah Mwakanyelenge akiwa madhabahuni Kyimbila
waimbaji wakimshambulia ibilisi jukwaa toka kushoto Sara Mwanginde Scola Mwezimpya Rehema Noah Farida Efesi Neema Bukuku Moses Simkoko
Kwa Yesu ni raha upendo furaha amani kila mmoja alitumia kifaa chake kuchukua matukio
Huduma ya JEM GOSPEL MINISTRIES inayoongozwa na mtumishi wa Mungu Apostle Jeremiah Mwakanyelenge wanaendesha msako mkali wa kusambaratisha ngome ya shetani na malaika zake
katika semina kubwa na yenye upako wa Mungu katika viwanja vya kanisa la Moravian ushirika wa Kyimbila
Katika semina hiyo Mtumishi wa Mungu Apostle Jeremiah akifundisha soma Kutengeneza madhabahu akimaanisha eneo la kukutana na Mungu si mimbara bali eneo ambalo mtu atakutana na Mungu na kuwekeana agano na Mungu akifafanua zaidi kuwa sasa kuna marumbano na mafarakano hata nadani ya kanisa kwasababu madhabahu nyingi zimeharibika na zinatoa uvundo na uozo badala ya manukato mazuri ambayo nia m,aombi ya watakatifu
jambio la msingi ni kwa waumini kujitambua kuwa wao ni hekaru la Mungu na kuwa watumishi wajenge utumishi wao kwa kumtegemea Roho Mtakatifu na si nguvu nyingine
Katika semina hii tunaona Mungu akiokoa na kuwafungua watu waliofungwa na shetani, kuna idadi kubwa ya watu walioamuakubadilisha maisha yao na kumpa Yesu maisha yao
%2B(1).png)
0 comments: