Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Monday, 2 June 2014

SHEREHE FUPI YA KUMPONGEZA ASKOFU MTEULE WA KANISA LA MORAVIAN JIMBO LA RUKWA

Unknown / / 0
Askofu mteule Conrad Nguvumali wa Jimbo la Rukwa
Askofu Mteule C. Nguvumali pamoja na mke wake wakati wa sherehe ya kumpongeza
Askofu Alinikisa Cheyo Askofu kiongozi wa kanisa la Moravian Tanzania ni 
miongono mwa wageni wa rasmi katika ibada hiyo

 Mch C. Mwaitebele Mwenyekiti wa jimbo la Kusini Rungwe ndiye aliyeongoza ibada
maa;lumu ya kumpongeza Askofu mteule wa Jimbo la Rukwa
Dr Tully Kassimoto makamu mkuu wa chuo Kikuu Teofilo kisanji ni miongoni mwawaheshimiwa
waliohudhuria ibada hiyo


Ni baadhi wa Wachungaji pamoja na wakristo waliohudhuria katika ibada hiyo ya kumpongeza
Askofu mteule C . Nguvumali
Apostle Jeremiah Mwakanyelenge ndiye aliyekkuwa mshereheshaji MC katika sherehe hiyo
ni mwimnaji mhubiri na ni Mc



Hii ni zawadi ya Gari ambayo alizawadiwa Askofu Mteule Nguvumali T 120 CTE Cruser
 Askofu mteule Conrad Nguvumali akipokea zawadi ya gari T 120 CTE Cruser
Askofu Mteule C. Nguvumali akiwa ndani ya gari yake akiwashukuru kwa zawadi aliyopewa
anamshukuru Mungu na anashangaa muujiza huo

Askofu mteule wa Jimbo la Rukwa Mchungaji Conrad Nguvumali ambaye ni katibu Mkuu wa kanisa la Moravian Tanzania na kwa sasa amechaguliwa kuwa Askofu Mteule katika Sinodi ya uchaguzi wa Jimbo hilo ambao ulifanyika mapema mwaka huu na kuchaguliwa kushika nafasi hiyo. Baada ya aliyekuwa Askofu wa Jimbo hilo Mch Kasitu kusataafu wadhifa huo.
Ibada hiyo maalumu ya kumpongeza Askofu huyo Mteule iliyofanyika katika Ushirika wa Chuo Kikuu Teofilo Kisanji. Ibada hiyo ilihudhuriwa na wachungaji wengi pamoja na Wakristo, ibada hiyo iliongozwa na Mchungaji  Clement Mwaitebele Mwenyekiti wa Jimbo la Kusini.

Mchungaji C. Nguvumali ambaye ameriki kwa nguvu zake zote katika kukiimarisha Chuo Kikuu cha kwanza cha Kimoravian

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News