si hivyo tu fuatana nami
hao vijana wako kuchuma chai
Hata kwenye kilimo vijana hawakubaki nyuma katika kuiosaidia jamii
Baada ya kazi za kijamii muda wa ibada ulipofika tunarudi kumtukuza MUNGUHabari ya ndiyo hiyo Tumwabudu Mungu katika Roho na kweli
Baada ya sifa Mtumishi wa Mungu Apostle Jeremiah alianza kufundisha Neno la Mungu lenye kuleta uponyaji kwa watu kuhusu kufunguliwa katika laana
Read More
















VURUGU
zilizoambatana na ngumi kurushwa zimetokea jana katika Ukumbi wa
Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam wakati aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba alipokuwa akitoa mada kwenye mdahalo
wa kujadili umuhimu wa kuielewa kwa kina Katiba inayopendekezwa kama
ilivyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba.
%2B(1).png)
0 comments: