Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Sunday, 14 December 2014

Wadau mbali mbali wa Elimu Nchini wametakiwa kuwekeza zaidi katika Elimu

Unknown / / 0
MBEYA
 
Wadau mbali mbali wa Elimu Nchini wametakiwa kuwekeza zaidi katika Elimu ili kusaidia  kuboresha kiwango cha taaluma  nchini kwa kuchangia misaada mbalimbali katika secta hiyo
 
 
ndugu Steven Sikluzwe akizungumza katika harambee hiyo.

Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa bodi ya shule ya Amani Day care Steven Sikaluzwe  wakati akizungumza kwa niaba  ya  mgeni rasimi  Askofu wa kanisa la pentecoste victory mission Alex Fella  katika harambee ya kuchangi ujenzi wa shule  ya watoto  wa chekechea Amani Day Cear  iliyofanyika Nanenane kwenye jengo la tanapa.
 
   Amesema kuwa katika kuinu  kiwango cha elimu na taaluma  wadau wa elimu wanatakiwa kuwekeza zaidi  kwenye  Elimu kuliko kuwekeza kwenye vitu vingine ambavyo  havina manufaa yeyote katika jamii.
 
   Aidha ameongeza kuwa  jamii ikiwekeza kwenye Elimu  itasaidia kupata  wasomi na wataalamu mbalimbli ambao watakuwa msaada mkubwa  katika jamii na Taifa kwa ujumula.
 
   Hata hivyo  Sikaluzwe amedai kuwa serikali haina budi kutoa kipao mbele kwa shule za binafisi ya kwa kutoa usajilibila kipingamizi kwa shule zilizotimiza vigezo, kwani zimekuwa msaada mkubwa  wa kutoa  Elimu kwa jamii.
 
Kwa upande wake  Mkurugenzi wa  shule hiyo Amos Steward   amewataka wazazi kuwa makini  wanapowapeleka wa toto wao kuanza masomo kufuatia kuanzishwa kwa shule nyingi  zisizo sajiliwa ili kuepuka kutapeliwa.

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News