Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Saturday, 13 December 2014

NYOROBI: ATIKISA MJI NA WATU WA MJI WA TUNDUMA

Unknown / / 0
Turn off for: Swahili
Inline image 2
Mtumishi wa mungu calvin Nyorobi akiwaanaimba wakati wa uzinduzi wa albam yake mjini Tunduma    Muimbaji wa nyimbo za injili na mtangazaji wa mtangazaji wa kituo cha radio kiitwacho Ushind Fm  Radio, Calvin Nyorobi atikisa mji wa Tunduma mkoani mbeya Jumapili ya tarehe 7-12-2014 wakati alipokuwa akizindua albam yake ya kwanza ijulikanayo kwa jina la USIKATE TAMAA.

    Muimbaji huyo aliyefanya tamasha hilo katika ukumbi wa kanisa la Tanzania Asemblies of God(TAG)Tunduma kwa Askofu Kalinga  ambapo watu wengi walihudhulia tamasha hilo la aina yake katika mji  huo na kumuona mungu kwa namna ya ajabu

Inline image 1
Askofu Kalinga wa kanisa la TAG Tunduma akiwa katika tamasha hilo mara baada ya kuzindua rasmi

    waimbaji mbalimbali pamoja na kwaya mbalimbali walihudhuli tamasha hilo   na kutoa michango kwa ajili ya kumtia moyo muimbaji huyo akiwemo Tumaini Mbembela(mke wake),Sara Mwanginde,Hawa Lusekelo,Peter Mbuba, Gwakisa Mwakilema,Tedy na kwaya mbalimbali zilikuwepo kuhakikisha tamasha linapendeza na kuvutia.
    waimbaji mbalimbali pamoja na kwaya mbalimbali walihudhuli tamasha hilo   na kutoa michango kwa ajili ya kumtia moyo muimbaji huyo akiwemo Tumaini Mbembela(mke wake),Sara Mwanginde,Hawa Lusekelo,Peter Mbuba, Gwakisa Mwakilema,Tedy na kwaya mbalimbali zilikuwepo kuhakikisha tamasha linapendeza na kuvutia.
    Muimbaji huyo ambaye pia amekuwa akija kwa kasi katika tasnia ya habari amedai kuwa kumtumikia mungu kwa nanmna ya uimbaji ni tamaa ya  yake siku nyingi kwani anaamini katika kutumika pia ndiko ziko Baraka za mungu "kutumika ndko kunafanya mtu apokee mshahara wake hivyo katika kutumika kuna nguvu ya ajabu ndiyo sababu inayo nifanya niwe natamani kmtumikia mungu siku zote" alisema

    wageni waalikwa wote waliweza kuonesha uwezo wao kufanya kila linalowezekana kuhudhulia tamasha hilo pamoja na changamoto za hali ya hewa  lakini bado wali weza kuwa na subira ya kumuona mtumishi wa mungu huyo kwani walizoea kumsikia katika radio tu na siyo kuonana naye ana kwa ana na tamasha lijawa n nguvu ya mungu na watu walimuona mungu aliye hai katika mji wa tunduma

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News