Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Tuesday, 30 December 2014

NINI KIFANYIKE ...?

Unknown / / 0
Jana ilinyesha mvua kubwa jijini Dar Es Salaam, ambapo mitaa kadhaa katikati ya jiji hilo imekuwa taabu kupitika, kwa wenda kwa miguu na pia magari. Mara kwa mara mvua kubwa zinaponyesha jiji la Dar Es Salaam hukabiliwa na matatizo hayo. Unadhani kipi kifanyike ili zinyeshapo mvua kama hizi wakazi wa jiji hilo wasikumbwe na matatizo hayo ya mara kwa mara?

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News