Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Sunday, 20 April 2014

Unknown / / 0
SIKU YA MWISHO YA SEMINA YENYE KICHWA "KUFIKA KILELE CHA MAFANIKIO KWA UAMINIFU"
Apostle Jeremia Mwakanyelenge alifundisha  yafuatayo kabla ya kuingia kwenye maombi
LUKA 4:18-19
ISAYA 61:1
Maandiko yanaposema roho wa Bwana yu juu yangu maana yake ufalme wa Mungu uko juu yako na kwa maana hiyo una nguvu za kumshinda Shetani, haijalishi ni mateso aina gani ulikuwa nayo huko nyuma roho wa Bwana akiwa ndani yako mateso na mahangaiko yote yanapotea.
Waumini mbalimbali waliohudhuria semina wakifuatilia kwa makini mafundisho ya neno la Mungu kupitia kwa Apostle Jeremiah Mwakanyelenge
Mama huyu baada ya kufanyiwa oparesheni, alisumbuliwa na maumivu  kwa miaka  6, lakini baada ya mtumishi  wa Mungu kumuombea kupitia jina la Yesu alifunguliwa papo hapo.

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News