SIKU YA MWISHO YA SEMINA YENYE KICHWA "KUFIKA KILELE CHA MAFANIKIO KWA UAMINIFU"
Apostle Jeremia Mwakanyelenge alifundisha yafuatayo kabla ya kuingia kwenye maombi
LUKA 4:18-19
ISAYA 61:1
Maandiko yanaposema roho wa Bwana yu juu yangu maana yake ufalme wa Mungu uko juu yako na kwa maana hiyo una nguvu za kumshinda Shetani, haijalishi ni mateso aina gani ulikuwa nayo huko nyuma roho wa Bwana akiwa ndani yako mateso na mahangaiko yote yanapotea.
Waumini mbalimbali waliohudhuria semina wakifuatilia kwa makini mafundisho ya neno la Mungu kupitia kwa Apostle Jeremiah Mwakanyelenge


%2B(1).png)
0 comments: