Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Tuesday, 15 April 2014

Unknown / / 0

Mtumishi wa Mungu Apostle Jeremia Mwakanyelenge akifundisha katika semina inayoendelea ndani ya kanisa la Moravian Isanga. Semina hiyo inaendelea hadi tarehe 20/04/2014 wote mnakaribishwa.
   
Mtumishi wa Mungu Apostle Jeremia Mwakanyelenge akiombea watu wenye magonjwa.
Mtumishi wa Mungu akiendelea kufundisha katika semina
Somo: Tamani kufika kilele cha mafanikio kwa uaminifu
Baadhi ya waimbaji wakisifu wakati wa kipindi cha kusifu na kuabudu.
Mtumishi wa Mungu Festina Mwandwanga akiongoza ibada ya kusifu na kuabudu,

Wapiga vyombo wakiendelea kumsifu Mungu ndani ya Ibada ya kusifu na kuabudu katika semina

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News