Mtumishi wa Mungu Apostle Jeremia Mwakanyelenge akiombea watu wenye magonjwa.
Mtumishi wa Mungu akiendelea kufundisha katika semina
Somo: Tamani kufika kilele cha mafanikio kwa uaminifu
Baadhi ya waimbaji wakisifu wakati wa kipindi cha kusifu na kuabudu.
Mtumishi wa Mungu Festina Mwandwanga akiongoza ibada ya kusifu na kuabudu,
Wapiga vyombo wakiendelea kumsifu Mungu ndani ya Ibada ya kusifu na kuabudu katika semina

%2B(1).png)
0 comments: