Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Friday, 18 April 2014

Unknown / / 0


 Mwimbaji wa nyimbo za injili Alex Mahenge akimtukuza Mungu katika ibada ya Ijumaa kuu wakati wa kusifu.
        Mwimbaji wa nyimbo za injili Festina Mwandwanga akimsifu Mungu wakati wa ibada.

MTUMISHI ELIEZER MWAKIHABA AKISEMA NENO KATIKA IBADA YA IJUMAA KUU KATIKA KANISA LA MORAVIAN ISANGA.
Mtumishi wa Mungu akisema neno  juu ya damu. Mtumishi alisema damu ni uhai.
Kutoka 12:2
Mwanzo 4:10
Torati 12:13
Ebrania 12:24
Ufunuo 9:2,11
Mwanzo 26:14









                     Mtumishi wa Mungu akiendelea kusema neno ndani ya ibada ya Ijumaa kuu.
          Mtumishi wa Mungu Eliezer Mwakihaba akiomba Mungu baada ya kumaliza kufundisha.
Dada huyu alianguka baada ya nguvu ya Mungu kupita ndani yake wakati mtumishi wa Mungu akiomba.      

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News