Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Thursday, 17 April 2014

Unknown / / 0
NAMNA YA KUJITAMBUA KIBIBLIA YA KWAMBA UMEFIKA KWENYE KUSUDI LAKO AMBALO MUNGU AMELIWEKA.
Mungu anapotaka kutenda jambo kwako haangalii watu wanasema nini juu yako bali huangalia wewe unataka nini kwake.
  1. Mimi mwenyewe nitaanza kutambulika(waamuzi 14:1-21)
  2. Utakuwa mtu mwenye kuhangaika/Mtu mwenye uhitaji mwingi(Mwanzo 30:1 )
  3. Utakuwa ni mtu unayeshuka na kuomba toba(2Nyakati 7:10)
  4. Utakuwa mtu wa vita dhidi ya uovu wa ibilisi(Hesabu 10:9, Yoeli 2:1)
  5. Utakuwa ni mtu wa kusubiri jibu kutoka kwa Mungu(Yoeli 2:21-26)

MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA KUYAFUATA ILI UFIKE KILELENI
  1. Kuwa makini na maisha yako ya rohoni na mwilini(Zaburi 1:1, Mhubiri 9:13-16)
  2. Usimpe ibilisi nafasi (Efeso 4:27)
  3. Kuwa na bidii katika kazi zako(Mithali 22:29, Mhubiri 9:10, Wafilipi 4:13)
  4. Lazima uwe na hekima(Mhubiri 7:12)

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News