Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Tuesday, 16 December 2014

APOSTLE JEREMIAH : CHRISTMAS TUMUONESHE YESU HALISI

Unknown / / 0


   

Mtumishi wa mungu  na mkurugenzi JP & E Company Jeremiah Mwakanyelenge amewataka watu wote kutembea na kuishi  katika kweli ya Kristo hasa wakati wa kipindi hiki cha christmas na mwaka mpya. Maneno hayo ameyasema jana katika semina ya wanahuduma wa JEM GOSPEL MINISTRY yenye makao makuu jijini Mbeya na watenda kazi wa Jp & E Company.

     Mtumishi huyu ambaye anamtumikia Mungu katika kufundisha na kuhubiri duniani kote amenukuliwa akiwaasa wanahuduma ya JEM na jamii kwa ujumla wasifanye maandalizi  yaliyotofauti na mapenzi ya Mungu katika kusherekea sikukuu za mwaka mpya na krismas, bali wawezefanya mambo yanayo ugusa moyo wa Kristo kwa kuyaenzi matendo mema ya kumpendeza Kristo na jamii kwa ujumla.
      Alisisitiza kwa kusema dunia ni ileile ya tangu  uumbaji, lakini matendo ya wanadamu wanaobadirika fahamu zao kila siku yanasababisha dunia ya leo ionekene ni mpya na iliyojaa maovu mengi kuliko mema maana siku za skukuu kama hizi wengi hupoteza maisha na wengine hupoteza baadhi ya viungo vyao kwa kupigwa ambapo tayari amani na raha ya kuazimisha kuzaliwa kwa Yesu inapotea.
    Alihitimisha kwa kuwakaribisha watu wote katika ibada za ya JEM GOSPEL MINISTRY kila siku ya jumatano na jumapili jioni eneo la Soweto block Q .Pia aliwakaribisha watu waje JP PRODUCTION kwa kurekod audio,video,kudurufu CD,kukodi vyombo vya mziki na gari ya matangazo kwa gharama nafuu.

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News