AINA YA MAOMBI YATAKAYOKUFANYA UFIKE KILELENI(UFANIKIWE)
- Maombi ya kumbariki Mungu(Waebrania 1:3, Wafilipi 2:10, Ufunuo 5:13, Kutoka 20:1-26, 1Timotheo 2:5,1Yohana 3:16,Mathayo 22:37, Matendo 4:12)
- Maombi ya toba (Yakobo 5:16, Mwanzo 18:23, Mwanzo 20:17, 1Samweli 12:17, Yeremia 42:2, Marko 1:5, Yohana 9:31, 1Petro 2:24, Hesabu 11:2)
- Kumpa shukrani Mungu(Maombi ya shukrani) (Zaburi 28:7, Marko 6:41-43, Kolosai 3:17, 2Thelasonike 1:3, 2Korintho 4:14-16))
- Maombi ya uhitaji(Wafilipi 4:6, Mathayo 6:9-13, Waefeso 15:16, Luka 18:1, Warumi 5:8, Zaburi 2:7)
- Hayo yote yanabebwa na upendo
UAMINIFU
Uaminifu ni kufuata sheria au kufuata matakwa ya mmiliki wa eneo unaloishi.
- Ni lazima uwe na tunda la roho(Wagalatia 5:22-23)
- Elewa mpango wa Mungu kwako.(Yohana 10:10, Yohana 3:16)
- Usitengane na Mungu/ukimkosea Mungu kumbuka kumuomba msamaha(Warumi 3:3, Isaya 59:10, 1Petro 3:18)
- Elewa Yesu yu hai/Uwe mwaminifu hata kama havionekani(1Petro 3:18, 1Korntho15:3)
- Ni lazima umkubali(umpokee) Yesu maishani mwako(Yohana 1:12, Waebrania 13:8, Waefeso 2:8-9, Waebrania 10:25)
%2B(1).png)
0 comments: