Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Tuesday, 22 July 2014

RATIBA YA KAGAME CUP RWANDA YATOKA

Unknown / / 0
CECAFA  imetoa Ratiba ya Mashindano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA KAGAME CUP, ambayo yatachezwa huko Kigali Nchini Rwanda kuanzia Agosti 8 na kumalizika Agosti 24.YANGA_NA_KAGAME
Yanga, ambao walipangwa Kundi A, wataanza kwa kuivaa Rayon Sports ya Rwanda kwenye Uwanja wa Amahoro, Kigali hapo Ijumaa Agosti 8.
KMKM ya Zanzibar, ambao wako Kundi moja na Yanga, wataanza kwa kuivaa Atlabara ya South Sudan Siku hiyohiyo Agosti 8 kwenye Uwanja wa Nyamirambo huko Kigali.

MAKUNDI:
KUNDI A
-Rayon Sports [Rwanda]
-Yanga [Tanzania]
-Coffee [Ethiopia]
­-Atlabara [South Sudan]
-KMKM [Zanzibar]
KUNDI B
-APR FC [Rwanda]
-KCCA [Uganda]
-Flambeau de l'est [Burundi]
-Gor Mahia [Kenya]
-Telecom [Djibouti]
KUNDI C
-Vital'O [Burundi]
-El Merreikh [Sudan]
-Benadir [Somalia]
-Polisi [Rwanda]
+++++++++++++++++++
Mechi zote zitachezwa Mjini Kigali kwenye Viwanja vya Amahoro na Nyamirambo huku Rubavu ikiwa ni Uwanja wa Akiba.
Tangu Mwaka 2002 Mdhamini wake mkuu ni Rais Paul Kagame wa Rwanda ambae amekuwa akitoa Dola 60,000 kila Mwaka.
Mashindano haya yatarushwa moja kwa moja kwenye TV na SuperSport International ambacho hivi karibuni kilisaini Mkataba wa Miaka Minne na CECAFA.
Ratiba kamili itatolewa baadae na CECAFA baada Timu zote kuthibitisha kushiriki.
Mbali ya kutwaa Kombe, Bingwa wa Kagame Cup huzoa Donge la Dola 30,000, Mshindi wa Pili Dola 20,000 na Timu ya Tatu hupata Dola 10,000.
RATIBA KAMILI:
TAREHE
NA
MECHI
KUNDI
UWANJA
Ijumaa Agosti 8
1
Atlabara v KMKM
A
NYAMIRAMBO


2
Rayon v Yanga
A
AMAHORO


3
Gor Mahia v KCCA
B
AMAHORO
Jumamosi Agosti 9
4
Vital ‘O’ v Banadir
C
AMAHORO


5
Police v El Mereikh
C
AMAHORO


6
APR v Flambeau
B
AMAHORO
Jumapili Agosti 10
7
KMKM v Young
A
AMAHORO


8
Telecom Vs KCCA
B
NYAMIRAMBO


9
Coffee v Rayon
A
AMAHORO
Jumatatu Agosti 11
10
Banadir v El Mareikh
C
NYAMIRAMBO


11
Gor Mahia v Flambeau
B
‘’


12
Vital ’O’ v Police
C
‘’
Jumanne Agosti 12
13
KMKM v Coffee
A
‘’


14
Yanga v Atlabara
A
‘’
Jumatano Agosti 13
15
APR  v Telecom
B
‘’


16
KCCA v Flambeau
B
‘’
Alhamisi Agosti 14
17
Coffee v Atlabara
A



18
Rayon  v KMKM
A



19
Police v Banadir
C

Ijumaa Agosti 15
20
Flambeau v Telecom
B



21
APR v Gor mahia
B



22
El Mareikh v Vital ‘O’
C

Jumamosi Agosti 16
23
Coffee v Yanga
A



24
Rayon v Atlabara
A

Jumapili Agosti 17
25
Telecom v Gormahia
B



26
KCC v APR
B


Jumatatu Agosti 18


MAPUMZIKO


Jumanne Agosti 19


ROBO FAINALI




27
C1 v B3

NYAMIRAMBO


28
A1 v B2

‘’
Jumatano Agosti 20
29
A2 v C2

‘’


30
B1 v A3

‘’
Alhamisi Agosti 21


MAPUMZIKO


Ijumaa Agosti 22


NUSU FAINALI




31
32
Mshindi 27 v Mshindi 28
Mshindi 29 v Mshindi 30

AMAHORO
Jumamosi Agosti 23


MAPUMZIKO


Jumapili Agosti 24


MSHINDI WA 3 & FAINALI




33
34
Mfungwa 31 v Mfungwa 32
Mshindi 31 v Mshindi 32

AMAHORO
**MUDA WA KUANZA MECHI UTAAMULIWA KATI YA CECAFA, FERWAFA NA SUPERSPORT KWA AJILI YA MATANGAZO LAIVU YA TV

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News