Total Pageviews

Recent news

About Us

Powered by Blogger.

Pages

Tuesday, 8 July 2014

HAKIKA MUNGU HUTENDA MAKUU TUMEONA KWA MACHO YETU NA KUSIKIA KWA MASIKIO

Unknown / / 0
Apostle Jeremiah M A akiwa na menyeji wake mchungaji Mchungaji Mkisi katika ibada ya Jumapili asubuhi
Tumaini Mbembela akiwa katika ibada ya sifa katika ibada nzuri ilyojaa uwepo wa Bwana
Waumini wakifurahia uwepo wa Bwana katika ibada
Mchungaji Mkisi hakubaki nyuma aliamua kuingia katika sifa na hatimaye kuchukua jukumu la kuogoza nyimbo za kusifu na kuabudu ilileta raha mmno katika Bwana
Apostle Jeremiah Mwakanyelenge aliyetunukiwa cheo Cha Postor katika ibada hiyo muhimu na nzuri
Mtumishi wa Mungu akifafanua jambo katika mahubiri yake
Mungu aliamua kuwahudumia watu katika ibada yamaombezi hakika Mungu alimtumia mtumishi wake Apostle Jeremiah

Ibada yenye uwepo wa Mungu watu walibubujika hakuna aliyehangaika na mwenzake kila mmoja kwa Mungu tu

Unknown


Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9

0 comments:

Recent News