Watu 90 wameuawa katika mapigano yaliyojiri kati ya askari wa Burundi na waasi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mkoa wa Cibitoke, kaskazini magharibi mwa Bujumbura. Msemaji mmoja wa jeshi la Burundi aliyefahamika kwa jina moja la 'Anatoli' amewaambia waandishi wa habari kwamba, mapigano hayo yaliyoanza tangu siku ya Jumatatu na kuendelea hadi jana, yaliibuka wakati waasi wanaokadiriwa kufikia 200 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walipojaribu kuingia nchini Burundi. Kwa mujibu wa afisa huyo wa jeshi la Burundi, askari wasiopungua 20 wamepoteza maisha huku zaidi ya waasi 70 wakiuawa. Kwa mujibu wa duru za jeshi la nchi hiyo, hadi sasa hakujatolewa ripoti kamili juu ya hasara iliyotokana na mapigano hayo. Inaelezwa kuwa waasi hao wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walikuwa wamekusudia kuteka ardhi na kupora maliasili za eneo la Kibira nchini Burundi.
Saturday, 3 January 2015
WATU 90 WAUWAWA KATIKA MAPIGANO BURUNDI
Watu 90 wameuawa katika mapigano yaliyojiri kati ya askari wa Burundi na waasi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mkoa wa Cibitoke, kaskazini magharibi mwa Bujumbura. Msemaji mmoja wa jeshi la Burundi aliyefahamika kwa jina moja la 'Anatoli' amewaambia waandishi wa habari kwamba, mapigano hayo yaliyoanza tangu siku ya Jumatatu na kuendelea hadi jana, yaliibuka wakati waasi wanaokadiriwa kufikia 200 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walipojaribu kuingia nchini Burundi. Kwa mujibu wa afisa huyo wa jeshi la Burundi, askari wasiopungua 20 wamepoteza maisha huku zaidi ya waasi 70 wakiuawa. Kwa mujibu wa duru za jeshi la nchi hiyo, hadi sasa hakujatolewa ripoti kamili juu ya hasara iliyotokana na mapigano hayo. Inaelezwa kuwa waasi hao wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walikuwa wamekusudia kuteka ardhi na kupora maliasili za eneo la Kibira nchini Burundi.
Unknown
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9
Blogroll
Blog Archive
-
▼
2015
(13)
-
▼
January
(11)
- JP PRODUCTION
- Word of today
- VICHWA VYA HABARI MAGAZETINI LEO
- MAJAMBAZI YATEKA MABASI 7 ARUSHA
- MH:SUGU APATA AJALI KITONGA
- AJALI CHALINZE
- Mmoja wa viongozi wa juu wa LRA ajisalimisha
- VICHWA VYA HABARI MAGAZETINI JUMAPILI YA 4 JANUARY...
- RECEIVE THE YEAR OF NEW HOPE
- NDEGE ZAANZA KURUKA KENYA
- WATU 90 WAUWAWA KATIKA MAPIGANO BURUNDI
-
▼
January
(11)
Advertise Here
Popular Posts
-
Askofu mteule Conrad Nguvumali wa Jimbo la Rukwa Askofu Mteule C. Nguvumali pamoja na mke wake wakati wa sherehe ya kumpongeza Asko...
-
TAFSIRI YA NAMBA 5 KATIKA MAANDIKO Mchungaji Peter Mitimingi, mkurugenzi wa The Voice of Hope Ministries (VHM). Namba TANO ...
-
Umati wa watu uliofurika katika viwanja kanisa la EAGT mwaka katika mkutano wa Injili Tunduma Mtumishi wa Mungu Joseph Lwiza maar...
-
KWA TAARIFA YAKO : HII NDIO SIRI YA SOLO MAARUFU WA KINONDONI REVIVAL CHOIR Haya msomaji wetu wa Gospel Kitaa karibu katika kipengele...
-
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mtandao mmoja nchini Kenya unaoendesha shughuli zake nchini Kenya kuanzia ...
-
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya d arasa la Saba mwaka 2014 ambayo yameonyesha ongezeko la ufaulu wa asilimia 5...
-
Mchungaji na mwimbaji Daniel Mwasumbi aachiwa huru baada ya kushinda rufaa kutokana na kesi tata iliyokuwa ikimkabiri Mtoto wa Mchungaji ...
-
Bonyeza hapa kusikiliza JP Radio FM...Nyote mnakaribishwa KING KIKI: KILA SIKU NASALI BABU SEYA AACHIWE MWANAMUZIKI mkongwe kat...
-
Rais mpya wa TEKUSO Ndugu Selemani Izack akila kiapo cha utii mbele mwanasheria wa Chuo Hon Martha Gwalema na kusaini hati ya kiapo ...
-
BANDA LA TIA LAZIDI KUVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA NANE NANE MBEYA, WENGI WATAKA KUJIUNGA NA CHUO HICHO Baadhi ya wanafunzi wakiend...
%2B(1).png)
0 comments: