Pages

Pages

Friday, 18 April 2014

     MAFANIKIO
Mafanikio ni kufika katika kile unachokihitaji, kiwe kibaya au kizuri.
2Samweli 21:1-13

MAMBO MUHIMU YATAKAYOFANYA UFIKE KILELENI(KWENYE MAFANIKIO) KWA UAMINIFU

  1. Muogope Mungu kwa njia inayofaa (Mithali 9:10, Zaburi 119:105)
  2. Chagua marafiki wenye hekima(Mithali 13:20)
  3. Epuka kula au kunywa kupita kiasi(Luka 19:41, Mithali 23:1,20,21, Yeremia 29:11)
  4. Usilipize kisasi(Usiwe mtu wa kisasi)(Warumi 12:1, Wafilipi 1:6)
  5. Fanya kazi kwa bidii na uwe mtu wa kubadilika kutaka maendeleo(2Thelasonike2:3-10, Yohana14:12)
  6. Ufuate kanuni ya Mungu(Mathayo 7:12, Torati 4:40, Yoshua 1:7, Luka 17:6)
  7. Dhibiti ulimi wako(1Petro 3:10, 1Falme 10:7, Warumi 12:2)
  8. Uwe mtu wa maombi(1Thelasonike 5:16)


No comments:

Post a Comment