Pages

Pages

Friday, 18 April 2014




             Mwimbaji wa nyimbo za injili Scolastica akimsifu na kumtukuza Mungu wakati wa sifa     


        Mwimbaji wa nyimbo za injili Festina Mwandwanga akiongoza ibada ya kusifu na kuabudu
Wanakwaya wa kwaya kuu katika ushirika wa Moravian Isanga wakimwimbia Mungu wakati wa semina
       Mtumishi wa Mungu Baraka akipiga kinanda wakati wa kusifu na kuabudu katika semina


          Mrs Jeremia Mwakanyelenge akimsifu na kumchezea Mungu wakati wa ibada ya sifa.

No comments:

Post a Comment