Pages

Pages

Tuesday, 13 January 2015

MH:SUGU APATA AJALI KITONGA


mbunge wa mbeya mjinimh Joseph Mbilinyi anusurika katika ajali iliyotokea mkoani iringa wilaya ya kilolo eneo la mlima kitonga tarehe 10, inaelezwa kuwa chanzo cha ajali ni kufeli kwa break iliyopelekea kuanguka kwa gari miguu juu kichwa chini. Gari aina ya Toyota rand cruser ambalo lilikuwa likiendeshwa na muheshimiwa huyo na ndani ya gari kulikuwa nawatu wanne na wote walitoka kwa usalama isipokuwa mh: sugu.

Gari ya sugu baada ya kupata ajali mkoani iringa








https://larrybway91.files.wordpress.com/2015/01/sugu-mr-sugu.jpg
muonekano wa gari baada ya ajali mlima kitonga mkoani iringa

https://larrybway91.files.wordpress.com/2015/01/sugu-mr-2.jpg
mbunge wa jimbo la mbeya akiwa hospitali kutibiwa majeraha

No comments:

Post a Comment