Jana ilinyesha mvua kubwa jijini Dar Es Salaam, ambapo mitaa
kadhaa katikati ya jiji hilo imekuwa taabu kupitika, kwa wenda
kwa miguu na pia magari. Mara kwa mara mvua kubwa zinaponyesha
jiji la Dar Es Salaam hukabiliwa na matatizo hayo. Unadhani kipi
kifanyike ili zinyeshapo mvua kama hizi wakazi wa jiji hilo wasikumbwe
na matatizo hayo ya mara kwa mara?
No comments:
Post a Comment