Hiki ni kituo cha daladala cha Kabwe ambacho ni kituo kikubwa cha daladala kwa jiji la Mbeya kikiwa hakina msogamano wa magari baada ya daladala za Uyole - Sokomatola/ Stend kuuu/ Majengo kugoma
Kituo kikiwa cheupe hakina daladala yoyote ya kuelekea Uyole huku abiria hawamini macho yao
Abiria wakiwa kstika nyuso za huzuni kwa kutokuwa na usafiri wa uhakika kuwapeleka katika majukumu ya kila siku huku Bajaji zikiokoa jahazi ama ndo vile tena kuvunjika kwa pakacha nafuu ya mchukuzi
Hatimaye kufa kufana kila aina ya gari lenye uwezo na nafasi ya kubeba ilibeba abiria ikiwa inashusha na kupakia abiria katika kituo cha kabwe
Bajaji zikiwa kazini huku waendesha bajaji wakiomba hali hii iendelee hata kwa wiki baada ya kunufaika na mgomo huo
Mwenye Noah, Canter, Fuso, Pikipiki kaingiza barabara kuokoa JAHAZI baada wenye Hiace kuibip serikali
Bora kufika haijarishi uko katika usafiri wa aina gani
Kituo cha Mwanjelwa chenye pilikapilika nyingi leo kikiwa cheupe kabisa
Watu wakikimbilia Canter ndo usafiri wa siku ya leo
Wamama wakihangaika wenye nyuso za huzuni katika vituo
Leo 9/6/2014 imekuwa ni asubuhi yenye mchanganyiko wa huzuni na furaha manung'uniko na pongezi kati ya makundi kadha wa kadha baada ya daladala kugoma kutoa huduma ya usafiri kutoka Uyole kuelekea Sokomatola, Stend kuu na Majengo kugoma kutoa huduma kwa siku ya leo
Madai yao makubwa ni kupinga njia zilizoongezwa ya kuzunguka Moondust Uhai Batist na kutokea Soweto stendi kwa gari zinazo tokea mjini kuelekea Uyole wakati zile za kutokea Uyole zinakunja kutokea Soweto kupitia njia ya Chuo kikuu cha Teku Block T na hatimaye kutokea Kabwe.
Wanadai kuwa hizo njioa zifutwe ili wapite njia kuu kusiwepo na mchepuko ama nauli ipandishwe hadi 500/= waameona hii ni njia ya kuishinikiza SUMATRA kubadilisha mfumo uliopo wa kutoa huduma hizo za usafiri
Jambo la msingi tunasaha kuwa kukua kwa jiji lazima kutalazika kuongezeka kwa njia ili kuendana na ongezeko la idadi ya magari kupanuka kwa mji si vema kuishi kwa mazoea tukubali kubadilika
Lakini ndo hivo tena wengine wananufaika na mgomo huo kwa kujiongezea kipato kama vile Bajaji Picup kubeba abiria kama unavoona kwenya picha hapo juu
Lakini hebu tuone katika sakata hili serkali itasema nini na je hawa watoa huduma watalegeza msimamo wao ama wataendelea na msimamo huo huo tutajua mwisho wake
Tutaendelea kukupa kinacho jili
By M Eliezer
Monday, 9 June 2014
Unknown
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Ut odio. Nam sed est. Nam a risus et est iaculis adipiscing. Vestibulum ante ipsum faucibus luctus et ultrices.
Follow me @Bloggertheme9
Blogroll
Blog Archive
-
▼
2014
(103)
-
▼
June
(8)
- MAZISHI YA DEBORA KUFANYIKA LEO, WAIMBAJI WAFIKA ...
- YALE YALE: WAZIRI MAGUFULI ANAPOTAFUTWA UBAYA.......
- Waimbaji wakimsifu na kumtukuza Mungu katika mku...
- JAMANI JAMANI KIMENUKA TENA MBEYA WANANCHI WA MBEY...
- HATIMAYE MTUMISHI WA MUNGU MCHUNGAJI DANIEL MWASUM...
- KUMEKUCHA UYOLE HUDUMA YA JEM GOSPEL MINISTRY INAY...
- HATIMAYE CHUO KIKUU TEOFILO KISANJI CHA PATA UONGO...
- SHEREHE FUPI YA KUMPONGEZA ASKOFU MTEULE WA KANISA...
-
▼
June
(8)
Advertise Here
Popular Posts
-
Askofu mteule Conrad Nguvumali wa Jimbo la Rukwa Askofu Mteule C. Nguvumali pamoja na mke wake wakati wa sherehe ya kumpongeza Asko...
-
TAFSIRI YA NAMBA 5 KATIKA MAANDIKO Mchungaji Peter Mitimingi, mkurugenzi wa The Voice of Hope Ministries (VHM). Namba TANO ...
-
Umati wa watu uliofurika katika viwanja kanisa la EAGT mwaka katika mkutano wa Injili Tunduma Mtumishi wa Mungu Joseph Lwiza maar...
-
KWA TAARIFA YAKO : HII NDIO SIRI YA SOLO MAARUFU WA KINONDONI REVIVAL CHOIR Haya msomaji wetu wa Gospel Kitaa karibu katika kipengele...
-
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mtandao mmoja nchini Kenya unaoendesha shughuli zake nchini Kenya kuanzia ...
-
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya d arasa la Saba mwaka 2014 ambayo yameonyesha ongezeko la ufaulu wa asilimia 5...
-
Mchungaji na mwimbaji Daniel Mwasumbi aachiwa huru baada ya kushinda rufaa kutokana na kesi tata iliyokuwa ikimkabiri Mtoto wa Mchungaji ...
-
Bonyeza hapa kusikiliza JP Radio FM...Nyote mnakaribishwa KING KIKI: KILA SIKU NASALI BABU SEYA AACHIWE MWANAMUZIKI mkongwe kat...
-
Rais mpya wa TEKUSO Ndugu Selemani Izack akila kiapo cha utii mbele mwanasheria wa Chuo Hon Martha Gwalema na kusaini hati ya kiapo ...
-
BANDA LA TIA LAZIDI KUVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA NANE NANE MBEYA, WENGI WATAKA KUJIUNGA NA CHUO HICHO Baadhi ya wanafunzi wakiend...












%2B(1).png)
0 comments: