Rais mpya wa TEKUSO Ndugu Selemani Izack akila kiapo cha utii mbele mwanasheria wa Chuo Hon Martha Gwalema na kusaini hati ya kiapo
Makamu wa Rais Ndugu Benjamini Nehemia akiapishwa kiapo cha utii kwa nafasi hiyo ya umakamu wa raisi kwa serkali ya wanafunzi TEKUSO mbele ya Advocate Martha Gwalema
Tunawatakia utumishi uliotukuka





No comments:
Post a Comment