SAFARI YA MWISHO YA MWISHO YA MAMA BENJA
Leo ni siku ya mwisho ya mama Benja .Mamia ya watu kutoka mikoa mbalimbali ndani ya Tanzania pamoja na wachungaji wamehudhuria katika sherehe hii ya mwisho ya kumuaga shujaa huyu wa imani Mama Benja. Mpaka kifo kinamkuta alikuwa Mkurugenzi mkuu wa WWI Taifa( Chama Cha Wamama wa EAGT ). Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali yaliyo tukio katika sherehe hiyo.
Baaadhi ya watu waliohudhuria sherehe hii wakimuaga mama Benja


No comments:
Post a Comment